Tuesday, February 28, 2017 Kitaifa RADIO JAMII TANZANIA ZATAKIWA KUPAZA SAUTI ZA WANYONGE. Na, Paulina Mpiwa/Mary. Shirika la Kimataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limeahidi kuendelea kuzisaidia redio jamii k...
Friday, February 24, 2017 Kitaifa SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA KALI WATENDAJI WAZEMBE WANAORUHUSU WATOTO KUTUMIKISHWA KATIKA KILIMO CHA ZAO LA TUMBAKU TABORA Na Salvatory Kelvin Watendaji wa Serikali mkoani Tabora wametakiwa kuhakikisha kuwa wanakomesha tabia ya kuwatumik...
3:33 PM Kitaifa ALIYEJARIBU KUBAKA MTOTO WA MIAKA 8 AHUKUMIWA JELA MIAKA 20 KAHAMA Na Salvatory Kelvin Mkazi wa Kitongoji cha Buyange Kijiji cha Ikinda wilayani Kahama LUCAS SAMSON(40), leo amehukumiwa...
3:18 PM Kitaifa SHIDA YA MAJI NYANG'WALE YASABABISHA KIFO CHA MWANAMKE KWA KULIWA NA FISI fisi anayedaiwa kusababisha kifo cha Mwanamke kahama Na salvatory kelvin KAHAMA Mwanamke mmoja aliyetambuliwa kwa jina moja ...
Tuesday, February 21, 2017 Kitaifa BEI NDOGO NA PEMBEJEO MBOVU ZAWALIZA WAKULIMA WA ZAO LA PAMBA SENGEREMA. Na,Paulina Mpiwa , Sengerema Mwanza. Imeelezwa kuwa bei ndogo ya zao la pamba, pembejeo mbovu na mbolea kupanda bei ...
Thursday, February 16, 2017 Kitaifa JELA MIAKA KUMI KWA KUANDAA SUMU KWA AJILI YA KUUA SENGEREMA. Na, Paulina Mpiwa,Sengerema Mwanza. Mahakama ya wilaya ya sengerema mkoani Mwanza imemuhukumu mtu mmoja kwenda jela ...
Tuesday, February 14, 2017 Kitaifa DC SENGEREMA AFUTA BMU ZOTE MAPAMBANO DHIDI YA UVUVI HARAMU. Na, Paulina Mpiwa, Sengerema Mwanza. Mkuu wa wilaya ya Sengerema Bw. Emanuel Kipol...
Thursday, February 9, 2017 Kitaifa DC KAHAMA ASITISHA ZOEZI LA UPIMAJI VIWANJA LILILOKUWA LINALOENDELEA WILAYANI HUMO BAADA YA KUBAINI KUKWEPA KODI YA USHURU WA HUDUMA NA :SALVATORY KELVIN Kauli hiyo ameitoa juzi na Mkuu wa Wilaya ya Kahama Fadhili Nkulu kwenye Baraza la madiwani la halmashauri ya...